Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Dr. Ali Taqavi, Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (S), Dar-es-Salam - Tanzania, akiwa katika Mkutano wa Ukaribu baina yake na Mh.Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakary Zubeiry bin Ally, na baadhi ya Maulamaa na Wanachuoni wa Shia na Sunni nchini Tanzania. Imam Ja'far Sadiq (a.s), Mjukuu wa Mtume Muhammad (s.a.w.w), alimuuliza Fudhail swali hili kwamba: "«تَجْلِسُونَ وَتَتَحَدَّثُونَ؟» " / Je! Mnakaa na Mnazungumza?. Fudhail akasema: Ndio. Imam Sadiq (a.s) akasema: Kwa hakika napenda vikao kama hivyo.

14 Aprili 2025 - 18:44

Habari Pichani | Dr.Ali Taqavi, Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (S), Dar-es-Salam, akiwa katika Mkutano wa Ukaribu na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha